Imaam Ibn #039;Uthaymiyn - Hukmu Ya Khatwiyb Kusema 'Kimu Swalaah' Baada Ya Khutwbah Ya Ijumaa
329
0
Aliulizwa Imaam Ibn 'Uthaymiyn (Rahimahu Allaah) kuhusiana na kauli ya Khatwiyb, "Na Kimu Swalaah", je, hili limepokewa kutoka kwa Salaf (Wema waliotangulia)?